Total Pageviews

Blog Archive

Search This Blog

Arsip Blog

Ads Here

Ads Here

Recent Posts

LIVE CHART

Skip

Featured post

SIRI KUU 3 ZA KUPUNGUZA UNENE HARAKA.

   SIRI KUU 3 ZA          KUPUNGUA UNENE HARAKA! Produced and Distributed by Lon technology p.o.box ...

Contact Form

Name

Email *

Message *

Njia 8 za kufanya ngozi yako iwe nzuri na ya kuvutia



watu wengi husumbuliwa na tatizo la ngozi zao kuzeeka haraka, kukosa mvuto na kupoteza mvuto wake wa asili, wengi husumbuliwa na mapele, chunusi, ngozi kukauka, madoa na mashimo kwenye ngozi, na hii husababisha wengine kutumia gharama kubwa kununua vipodozi kwa ajili ya kutibu ngozi zao. leo nitawaletea dondoo chache tu za kufanya  na kutunza ngozi yako ili iendelee kuwa na mvuto.

1. Tumia vipodozi vinavyoendana na ngozi yako

watu wengi huharibu ngozi yao wenyewe bila kujua kutokana na kutumia vipodozi visivyoendana na ngozi zao, utakuta mtu ana ngozi yenye mafuta lakini anatumia vipodozi vya watu wenye ngozi kavu, au mtu mwenye ngozi kavu anatumia vipodozi vya mtu mwenye ngozi ya mafuta, hapo lazima ngozi yake itaharibika.

Post a Comment

Copyright © LON FFB. Designed by OddThemes